SANAA NA MWANAMKE

Survey closed on Dec 19, 2023

 CDEA kwa msaada wa Ubalozi wa Kifalme wa Norway jijini Dar es Salaam inaandaa msimu wake wa 4 wa Jukwaa la Jinsia La BINTI LONGA mwezi Disemba 2023.

Jukwaa hili  salama linalenga kuchunguza fursa, changamoto, haki na wajibu tofauti wa wanawake katika jamii. Lengo letu kuu msimu huu litakuwa kwa Wanawake katika Sekta ya Sanaa nchini Tanzania katika kubainisha:

1.Hali ya wanawake katika Sekta ya Sanaa nchini Tanzania.
2.Fursa zilizopo kwa  wanawake katika sekta ya sanaa na ukuaji wa uchumi wa kidijitali
3.Changamoto zinazowakabili wanawake katika sekta ya Sanaa katika zama za sasa.
4.Haki za wanawake katika sanaa, sera na mazingira ya kisheria

Survey is currently active
Closed

This survey has ended and is no longer accepting responses.

CEP Logo

The Citizen Engagement Platform CEP main objective is to ensure participation of African citizens in policymaking processes through the provision of access to information as well as facilitating opportunities for interaction, exchanges and ultimately co-creation of solutions and ideas with policymakers through digital and non-digital approaches towards the attainment of Agenda 2063.

SUBSCRIBE TO OUR NEWSLETTER

Receive agenda 2063 updates

2025 Powered by AUDA NEPAD